Search
Sign In
2 Register
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Rais wa Malawi Lazarus Chakwera Akubali Matokeo ya Uchaguzi, Ampongeza Mpinzani Wake

  • 10
Scroll Down To Discover

Rais wa Malawi, Lazarus Chakwera, ameeleza kuwa amekubaliana na matokeo ya uchaguzi wa urais uliofanyika Septemba 16, 2025, ambayo yameonyesha kwa sehemu kubwa kushindwa kwake na kumpa ushindi mpinzani wake, Prof. Arthur Peter Mutharika.

Kupitia barua yake iliyotolewa Septemba 24, 2025, Rais Chakwera amesema kuwa baada ya kukubaliana na matokeo hayo, aliamua kumpigia simu mpinzani wake kumpongeza na kumtakia heri katika uongozi wake unaokuja.

“Nimefanya hivi kwa sababu nimekubaliana na matokeo ya uchaguzi yaliyothibitishwa na kutangazwa na tume yetu ya uchaguzi, kama ambavyo nitakubali matokeo ya jumla ya mwisho yatakayotangazwa na tume,” imeeleza barua ya Rais Chakwera.

JESHI la POLISI LAVUNJA UKIMYA ASKARI ALIYENASWA KALALA CHINI – “UCHUNGUZI MKALI UMEANZA”…



Prev Post PITIA VICHWA VYA HABARI KATIKA MAGAZETI YA LEO SEOTEMBA 25, 2025
Next Post Polisi Waanza Uchunguzi wa Video ya Askari Kulala Chini – Video
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook