Search
Sign In
2 Register
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Jinsi Ya Kujenga Uaminifu Na Kuokoa Ndoa Yako Kutoka Kwa Mitego Ya Mpango Wa Kando

  • 3
Scroll Down To Discover

Ndoa yangu ilikuwa karibu kuvunjika vipande vipande. Mume wangu alianza kubadilika ghafla simu yake ilikuwa daima kimya, alirudi nyumbani usiku sana, na mara nyingi alikuwa na hasira zisizoelezeka. Nilijaribu kuzungumza naye kwa upole, lakini kila mara alinikwepa au akageuza mazungumzo kuwa lawama kwangu.

Ndani ya moyo wangu nilihisi kuna jambo baya linaendelea. Niliishi kwa hofu na huzuni kila siku, nikijiuliza kama ndoa yangu ilikuwa inaelekea mwisho.

Siku moja nilipata uthibitisho wa hofu zangu niliona ujumbe kwenye simu yake kutoka kwa mwanamke mwingine. Nilihisi damu ikinikauka mwilini. Nilikaa kimya siku chache, lakini nilihisi kama nitapasuka. Nilipomkabili, alikataa kila kitu na kusema nina wivu kupita kiasi.SOMA ZAIDI…



Prev Post Mtoto wa Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi, Abbas Ali Mwinyi, Afariki
Next Post RASMI…..FADLU ATOA YA MOYONI KUSEPA SIMBA….ATAJA VIONGOZI…ISHU YA FEI TOTO…..
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook