Search
Sign In
2 Register
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Mazishi ya Kitaifa ya Job Ndugai Kufanyika Agosti 11, Kongwa

  • 37
Scroll Down To Discover

Mazishi ya kitaifa ya Spika mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Yustino Ndugai, yanatarajiwa kufanyika Jumatatu Agosti 11i katika Wilaya ya Kongwa mkoani Dodoma.

Kwa mujibu wa ratiba iliyotolewa Alhamisi, Agosti 7,2025 na Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson, shughuli ya kuuaga mwili kitaifa itafanyika siku ya Jumapili kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma.

Dkt. Tulia alitoa ratiba hiyo baada ya kufika nyumbani kwa marehemu eneo la Ndejengwa, jijini Dodoma, ambako pia alitoa pole kwa familia ya marehemu.



Prev Post PITIA VICHWA VYA HABARI KATIKA MAGAZETI YA LEO AGOSTI 08, 2025
Next Post Majaliwa: Tuhakikishe Vijana Wanapata Mafunzo Ya Ufundi Stadi
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook