Search
Sign In
2 Register
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Mataifa ya Afrika yaanza kuumia kwa ushuru wa Trump, katika Dira ya Dunia TV

  • 38
Scroll Down To Discover

Ushuru mpya wa Rais Donald Trump ambao Marekani unatoza kwa zaidi ya mataifa 90 kote duniani umeanza kutekelezwa. Nigeria, Ghana, Cameroon na Ivory Coast sasa wanatozwa ushuru wa asilimia 15. Kenya inatozwa ushuru wa asilimia 10, sawia na Rwanda na Gambia. Nayo Afrika Kusini inakabiliwa na ushuru wa asilimia 30. Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw



Prev Post NAFASI Za Kazi GSM Group Tanzania
Next Post SBL Yazindua Mpango wa Kilimo Biashara Kuongeza Mavuno kwa Wakulima
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook