Search
Sign In
2 Register
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Mahakama Kuu Afrika Kusini Yatupilia Mbali Rufaa ya Familia ya Edgar Lungu

  • 3
Scroll Down To Discover

Mahakama Kuu nchini Afrika Kusini ilitupilia mbali rufaa siku ya Jumanne iliyowasilishwa na familia ya aliyekuwa Rais wa Zambia, Edgar Lungu, iliyokuwa ikitaka kusitisha urejeshaji wa mwili wake nchini Zambia kwa mazishi.

Familia hiyo ilifikisha suala hilo katika mahakama ya Pretoria kupinga uamuzi wa awali ulioruhusu serikali ya Zambia kurejesha mwili wa Lungu nchini humo kwa mazishi ya kitaifa.

Familia ilikuwa na matumaini ya kupeleka suala hilo katika Mahakama ya Rufaa ya Juu (SCA), lakini ombi lao lilikataliwa na mahakama hiyo pamoja na kuamriwa kulipa gharama za kesi.
Mahakama ilisema kuwa hakukuwa na uwezekano wa mafanikio kwa rufaa hiyo

VUMBI LATIMKA DIAMOND PLATNUMZ AKIPAFOMU MBELE ya RAIS SAMIA – KAMPENI za MGOMBEA URAIS CCM ZANZIBAR



Prev Post Nilipoteza Ajira Yangu Bila Hata Sababu, Lakini Hatua Niliyopiga Ilinifanya Nipewe Nafasi Bora Zaidi
Next Post Dkt. Samia Aendelea na Kampeni za CCM Kusini Unguja (Picha +Video)
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook