Search
Sign In
2 Register
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Video: Rostam avunja ukimya kuhusu ununuzi wa mgodi wa Mwadui

  • 16
Scroll Down To Discover


Mfanyabiashara mkubwa nchini, Rostam Aziz ameeleza jinsi alivyofanikiwa kununua mgodi wa almasi wa Mwadui uliozusha gumzo siku kadhaa zilizopita kwenye mitandao ya kijamii.

Rostam amesema hajanunua mgodi huo kutoka kwa serikali bali alinunua hisa kutoka kwenye kampuni ya kigeni iliyokuwa ikiumiliki mgodi huo na kusisitiza kuwa alifuata hatua zote za kisheria.



Prev Post Polisi: Wanahabari Arusha washikiliwa kwa kuendesha mitandao bila usajili
Next Post Wananchi Kome Wampokea Shigongo Kwa Shangwe, Aahidi Mshikamano
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook