Search
Sign In
2 Register
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Uzinduzi wa vyama TZ, Je, ni sera gani zinazonadiwa? Katika Dira ya Dunia TV

  • 6
Scroll Down To Discover

Chama cha Ukombozi wa Umma yaani CHAUMMA kimezindua rasmi kampeni zake mwishoni mwa juma jijini Dar es Salaam, kikiwa miongoni mwa vyama 17 vitakavyoshiriki uchaguzi mkuu nchini Tanzania. Je, ni sera gani mpya zinazonadiwa na chama hicho? Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw



Prev Post Siri ya Mafanikio ya Mfungaji Tajiri Aliyekuwa na Maisha Duni
Next Post BAADA YA KAMBI YA MISRI KUISHA…FADLU KAKUNA KICHWA WEE…KISHA AKASEMA HAPA BADO…
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook