Search
Sign In
2 Register
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

17 kuwania urais Tanzania, lakini Luhaga Mpina atemwa nje, katika Dira ya Dunia TV

  • 8
Scroll Down To Discover

Tume Huru ya Uchaguzi Tanzania (INEC) imewateua wagombea 17 kuwania nafasi za urais katika uchaguzi unaotarajiwa kufanyika baadaye mwaka huu, huku mgombea wa chama cha ACT Wazalendo Luhaga Mpina akizuiliwa kurejesha fomu. Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw



Prev Post Rais Samia akutana na Rais wa TLS Ikulu Chamwino
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook