Search
Sign In
2 Register
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Wasira Amjulia hali Naibu Katibu Mkuu Mstaafu CCM Zanzibar Dr. Sadala

  • 3
Scroll Down To Discover

Makamu mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (Bara) Ndg. Stephen Wasira akimjulia hali Naibu Katibu Mkuu Mstaafu wa CCM Zanzibar ambae ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Ndugu Dr. Abdallah Juma Sadala (Mabodi) aliyelazwa kwa matibabu katika Hospitali ya Benjamin Mkapa Mkoani Dodoma. tarehe 24 Agosti 2025.



Prev Post Vita Dhidi ya Kipindupindu Hanang’: Zaidi ya Wanafunzi 700 Wafaidika na Vyoo Vipya
Next Post WAZIRI DKT. GWAJIMA AMWAKILISHA SPIKA WA BUNGE DKT. TULIA AKSON KWENYE HAFLA YA MISS UNIVERSE TANZANIA, 2025,
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook