Search
Sign In
2 Register
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Ahofiwa Kufariki Dunia Baada Ya Kufukiwa Na Kifusi 

  • 2
Scroll Down To Discover

Mtu Mmoja ahofiwa kufariki baada ya kufukiwa na kifusi wakati akifanya matengenezo katika shimo Mkoani Mara.

Tukio hilo limetokea Agosti, 19,2025, ambapo Mtu huyo aliyetambukika kwa jina la Juma Lutaramula, mkazi wa Katoro Mkoani Geita, ambaye ni fundi aliyekuwa akifanya kazi ya matengenezo ya shimo linalotumika kuchimba dhahabu, katika mgodi wa Kinyambwiga, Walwa Wilaya ya Bunda Mkoani Mara, ambapo Mtu huyo alifunikwa na kifusi jitihada za utafutaji zikiendelea katika eneo hilo .



Prev Post NAFASI 5 Za Kazi Bagamoyo Sugar Limited
Next Post Agizo La Minada Yote Nchini Kutumia Nishati Safi Ya Kupikia Laanza Kutekelezwa
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook