
Mtu Mmoja ahofiwa kufariki baada ya kufukiwa na kifusi wakati akifanya matengenezo katika shimo Mkoani Mara.
Tukio hilo limetokea Agosti, 19,2025, ambapo Mtu huyo aliyetambukika kwa jina la Juma Lutaramula, mkazi wa Katoro Mkoani Geita, ambaye ni fundi aliyekuwa akifanya kazi ya matengenezo ya shimo linalotumika kuchimba dhahabu, katika mgodi wa Kinyambwiga, Walwa Wilaya ya Bunda Mkoani Mara, ambapo Mtu huyo alifunikwa na kifusi jitihada za utafutaji zikiendelea katika eneo hilo .
Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!