Search
Sign In
2 Register
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Mjumbe wa Marekani azuru Gaza huku maelfu wakiendelea kukabiliana na njaa. Katika Dira ya Dunia TV

  • 43
Scroll Down To Discover

Mjumbe maalum wa Rais wa Marekani, Steve Witkoff, amezuru kusini mwa Gaza kukagua maeneo ya misaada ambayo yamekuwa yakikosolewa kwa kuungwa mkono na Israel na Marekani. Alikuwa ameandamana na balozi wa Marekani nchini Israel, Mike Huckabee, ambaye alichapisha picha hizi kwenye mitandao ya kijamii.



Prev Post BENKI YA NMB YAKUTAKA NA WAFANYABIASHARA WAKUBWA JIJINI MWANZA
Next Post Canada, Ufaransa na Uingereza kutambua Palestina kama taifa huru. Katika Dira ya Dunia TV
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook