Search
Sign In
2Your Cart
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

NAIBU KATIBU MKUU WIZARA YA FEDHA ATEMBELEA BANDA LA PPAA

  • 37
Scroll Down To Discover

Naibu Katibu Mkuu Huduma za Hazina Wizara ya Fedha, Bi. Jenifa Omolo ametembelea banda la Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA) katika Maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa (Sabasaba) yanayoendelea Jijini Dar es Salaam.

Pamoja na mambo mengine, Bi. Omolo ameipongeza PPAA kwa kuanza matumizi ya Moduli ya kupokea na kushughulikia malalamiko na rufaa katika mfumo wa NeST. Kupitia maonesho hayo, Bi. Omolo amefahamishwa majukumu na mafanikio ya Mamlaka ya Rufani kwa kipindi cha miaka minne chini ya Uongozi wa Serikali ya awamu ya sita.



Prev Post Twende Butiama 2025: Vodacom Tanzania na Stanbic Bank zaendelea kutoa matumaini kwa Watanzania
Next Post FCC YAJIZATITI KUTOA ELIMU KWA UMMA KATIKA MAONESHO YA 49 SABASABA
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook