Search
Sign In
2Your Cart
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Jay-Z Adaiwa Atatumbuiza Superbowl 2026.

  • 30
Scroll Down To Discover

Kwa Mujibu Wa Ripoti Mbalimbali Nchini Marekani Ni Kwamba Huenda Rapa Jay-Z akatumbuiza Kwenye Fainali Za Superbowl (Halftime Show) Mwakani 2026.

Taarifa Hii Inakuja Baada Ya Kutumbuiza Kwa Mara Ya Kwanza Baada Ya Miaka 7 Kwenye Ziara Ya Beyonce ‘Cowboy Carter’ Juzi Jijini Paris, Ufaransa.

Jay-Z Ambaye Ni Mtaalam Na Mpanga Mikakati Wa Muziki Wa NFL Kupitia Ushirikiano Wa Kampuni Yake ‘Roc Nation’ Bado Hajaibuka Na Kuthibitisha Taarifa Hizi.

Je, Ikiwa Kweli Jayz Atatumbuiza Superbowl Unatamani Atumbuiza Wimbo Gani ⁉️

The post Jay-Z Adaiwa Atatumbuiza Superbowl 2026. appeared first on Wasafi Media.



Prev Post BRELA yatoa msaada kwa Watoto wenye uhitajj
Next Post Kolabo Ya Diamond Na Davido Kutoka Hivi Karibuni.
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook