Search
Sign In
2Your Cart
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

MAGAZETI ya Leo Jumapili 25 May 2025

  • 35
Scroll Down To Discover

MAGAZETI ya Leo Jumapili 25 May 2025

Klabu ya Yanga imetangaza kuachana rasmi na aliyekuwa kiungo mshambuliaji wake, Stephane Aziz Ki ambaye amesajili na Wydad Athletic ya Morocco.

Kiungo huyo anaondoka Young Africans akiwa ameacha historia kubwa baada ya kuitumikia klabu hiyo kwa miaka mitatu akitokea ASEC Mimosas ya Ivory Coast.

Aziz Ki alicheza mechi yake ya mwisho Yanga na kupewa heshima ya kuwa nahodha mchezo wa Nusu Fainali ya Kombe la FA na kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya JKT Tanzania katika Uwanja wa Mkwakwani, Tanga.



Prev Post Rais Mstaafu Thabo Mbeki Aitaka Afrika Kuwa na Ajenda Yake
Related Posts
© Image Copyrights Title

MAGAZETI ya Leo Ijumaa 23 May 2025

Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook