Search
Sign In
2Your Cart
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

MAGAZETI ya Leo Jumanne tarehe 20 May 2025

  • 1
Scroll Down To Discover

MAGAZETI ya Leo Jumanne tarehe 20 May 2025

MAGAZETI ya Leo Jumanne tarehe 20 May 2025

MAGAZETI ya Leo Jumanne tarehe 20 May 2025

Serikali imethibitisha rasmi mpango wa kujenga na kukarabati viwanja mbalimbali vya michezo nchini, ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya kuandaa mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) mwaka 2027, pamoja na juhudi za kuendeleza sekta ya michezo nchini.

Kauli hiyo imetolewa bungeni jijini Dodoma na Waziri wa Katiba na Sheria, Dk Damas Ndumbaro, alipokuwa akiongeza majibu ya serikali kuhusu mipango ya kufufua na kuimarisha miundombinu ya michezo nchini.

Ndumbaro amesema Kuwa Katika maandalizi ya AFCON 2027, serikali imetenga viwanja vitano kwaajili ya ukarabati vitakavyotumika kwa mazoezi ya timu shiriki.

Viwanja hivyo ni Jamhuri (Morogoro), Mkwakwani (Tanga), Sokoine (Mbeya), CCM Kirumba (Mwanza), pamoja na Majimaji (Songea)

Awali, Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Profesa Palamagamba Kabudi, alijibu swali la Mbunge wa Songwe Mjini, Philipo Mulogo kuhusu ukosefu wa uwanja wa michezo katika mkoa huo na kueleza kuwa tayari serikali imeanza mchakato wa awali wa kujenga viwanja vipya katika mikoa mbalimbali.

“Natambua hali ya Uwanja wa Sokoine, lakini mahitaji ya viwanja ni makubwa nchini kote. Tayari katika bajeti iliyopitishwa, tunaanza upembuzi yakinifu kwaajili ya kujenga viwanja vingine 26 katika maeneo mbalimbali ya Tanzania. Ninaamini Mkoa wa Songwe utakuwa miongoni mwa maeneo yatakayokidhi vigezo hivyo,” amesema Profesa Kabudi.



Prev Post MAGAZETI ya Leo Alhamisi 22 May 2025
Next Post KUELEKEA MECHI YA FAINAL YA CAF J/PILI HII….CHE MALONE ‘AJIPA UMUHIMU’ SIMBA….
Related Posts
© Image Copyrights Title

MAGAZETI ya Leo Ijumaa 23 May 2025

© Image Copyrights Title

MAGAZETI ya Leo Alhamisi 22 May 2025

Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook