
Viongozi mbalimbali wa Serikali na wananchi wameaga mwili wa aliyekuwa Makamu wa kwanza wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati Cleopa David Msuya, katika viwanja vya David Cleopa Msuya, Wilayani Mwanga, mkoani Kilimanjaro, leo tarehe 12 Mei 2025.

Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!