Search
Sign In
2 Register
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Makonda Aibuka Mshindi wa Kura za Maoni CCM Jimbo la Arusha Mjini

  • 39
Scroll Down To Discover

Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda, ameibuka mshindi wa kura za maoni ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa nafasi ya ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini, kwa kupata kura 9,056 sawa na asilimia 97.63 ya kura halali zilizopigwa.

Akitangaza matokeo hayo leo Agosti 4, 2025, Msimamizi wa Uchaguzi wa jimbo hilo alisema kuwa wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Jimbo walikuwa 10,186, ambapo 9,276 (sawa na 91%) walijitokeza kupiga kura. Kura zilizoharibika zilikuwa 11, hivyo kura halali ni 9,265.

Makonda ameibuka mshindi kwa ushindi wa kishindo dhidi ya wagombea wengine sita waliokuwa wakigombea nafasi hiyo, akionesha kuungwa mkono kwa kiwango cha juu na wajumbe wa chama.



Prev Post Matangazo ya Dira ya Dunia TV
Next Post Festo Sanga Aibuka Kidedea Kura za Maoni Ubunge Jimbo la Makete
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook