Search
Sign In
2Your Cart
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Mrembo Apotea Katika Mazingira ya Kutatanisha Baada ya Kwenda Kuombewa

  • 33
Scroll Down To Discover

Binti aitwaye Elizabeth Matei (26) anadaiwa kupotea tangu tarehe Julai 4, 2025 mara baada ya kuondoka nyumbani kwao eneo la Mbande Msewe, jijini Dar es Salaam.

Akizungumza na Global TV, mama wa binti huyo, Eliza, amesema siku hiyo Elizabeth aliaga kuwa anakwenda kuombewa pamoja na rafiki yake, kutokana na kuwa alikuwa akisumbuliwa na mapepo kwa muda mrefu.

Tangu siku hiyo hajarejea nyumbani, na juhudi za familia kumtafuta bado zinaendelea.

Endapo utabahatika kumuona au kwa taarifa yoyote unaweza kuwasiliana na Familia kupitia namba 0693560909.



Prev Post Taasisi Na Asasi Za Kimataifa Zilizopewa Kibali Cha Kuwa Waangalizi Wa Uchaguzi!!
Next Post Mkutano Wa 18 Wa Baraza La Mawaziri Wa Jumuiya Ya Afrika La Kilimo Na Usalama Wa Chakula Wafanyika Arusha
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook