Search
Sign In
2Your Cart
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Kalulu Ajitosa Ubunge Mbagala

  • 42
Scroll Down To Discover

Dar es Salaam 30 Juni 2025: Mwanasiasa kijana ambaye ni Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Dar es Salaam,  Kalulu Burchard amechukua fomu kuomba ridhaa ya chama chake kumchagua kuwa mgombea ubunge wa Jimbo la Mbagala.
Kalulu ambaye anajitanabaisha kuwa ni msomi mwenye uwezo wa kutatua changamoto za kijamii amesema kuwa atawatumikia wananchi na chama chake kwa moyo wake wote. HABARI/PICHA NA ISSA MNALLY/ GPL



Prev Post SICPA Zinaongeza Imani ya Wateja na Uadilifu wa Soko
Next Post PAMOJA NA KUPATA UBINGWA WA FA JANA…NEEMA YAZIDI KUTUA YANGA…
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook