Search
Sign In
2Your Cart
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Trump asema amepata mnunuzi wa TikTok

  • 36
Scroll Down To Discover

Rais wa Marekani, Donald Trump amesema amepata wa kuinunua kampuni ya TikTok.

Akizungumza kwenye mahojiano na Fox News, Trump amesema kuwa ataweka wazi majina ya wanunuzi hao wiki zijazo huku akisema kuwa ni kundi la watu matajiri sana.

Kauli hiyo inakuja wakati ambapo kampuni ya ByteDance ya China inakabiliwa na shinikizo la kuiuza TikTok kwa Marekani, vinginevyo itazuiwa kutumika nchini humo.

Hata hivyo, Trump amekiri kuwa huenda ikahitajika idhini kutoka kwa nchi ya China kwa ajili ya mauzo hayo, akisema kuwa “Nadhani Rais Xi Jinping ataidhinisha hilo.”

The post Trump asema amepata mnunuzi wa TikTok appeared first on SwahiliTimes.



Prev Post Mbeto: Rais Dk Samia Kielelezo Cha Kiongozi Mwanademokrasia Afrika
Next Post Vodacom na Stanbic Wazindua Jezi Itakayotumika Kwenye Msafara wa Twende Butiama 2025
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook