Search
Sign In
2Your Cart
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Baadhi Ya Wagombea Waliochukua Fomu Ya Kuwania Ubunge Mkoa Wa Kagera

  • 23
Scroll Down To Discover

Mkurugenzi wa kiwanda cha kusindika Kahama cha AMIMZA bw, Amir Hamza

Mkurugenzi wa kiwanda cha kusindika Kahama cha AMIMZA bw, Amir Hamza amechukua fomu ya kuomba ridhaa kwenye chama cha mapinduzi CCM kuwania Ubunge wa Jimbo la Bukoba mjini.

Devotha Daniel

Devotha Daniel mapema leo hii amezulu katika ofisi za chama cha mapinduzi CCM mkoa wa Kagera na kuchukua fomu ya kutia nia ya Ubunge wa viti maalumu mkoa wa Kagera.

Eng. Johnston Johansen Mutasingwa

Eng. Johnston Johansen Mutasingwa ni Mtanzania mzalendo, mtaalamu wa sekta ya ujenzi mwenye uzoefu wa zaidi ya miaka 20 katika usimamizi wa miradi ya maendeleo ya miundombinu kupitia Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS), ambapo kwa sasa anahudumu kama Mkuu wa Kitengo cha Mizani, na Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mipango kwa Mkoa wa Kagera amechukua fomu ya kuwania Ubunge wa Jimbo la Bukoba mjini.

Adv. Shabir Nuah Bigirwa wakili wa kujitegemea

Adv. Shabir Nuah Bigirwa wakili wa kujitegemea, Mwanasheria Mkuu mstaafu wa Bunge la vijana Tanzania na Mwanadiplomasia amechukua fomu ya kuwania Ubunge wa Jimbo la Bukoba mjini.



Prev Post SBL Yakabidhi Mradi Wa Maji Kwa Wakazi 14,000 Wa Kwadelo, Wilaya Ya Kondoa
Next Post Diwani wa Zamani Kata ya Msasani, Neghesti Achukua Fomu Kuwania Ubunge Jimbo la Kigamboni Kupitia CCM’
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook