

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Tulia Ackson amelitangazia bunge kuwa Rais Samia Suluhu Hassan atakuwa akifuatilia kwa njia ya runinga bajeti kuu ya serikali inayosomwa bungeni na Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba.
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Tulia Ackson amelitangazia bunge kuwa Rais Samia Suluhu Hassan atakuwa akifuatilia kwa njia ya runinga bajeti kuu ya serikali inayosomwa bungeni na Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba.
Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!