Search
Sign In
2 Register
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Azania Bank Kuendelea Kutoa Huduma Bora Kwa Taasisi za Umma

  • 5
Scroll Down To Discover

Naibu Waziri Mkuu wa Tanzania Mh. Dkt.Doto Biteko akipata maelezo kutoka kwa mkuu wa idara ya wateja wakubwa wa Benki ya Azania Bw. Samson Mahimbi juu ya ushiriki na huduma zitolewazo na benki hiyo Kwa Taasisi za Umma wakati Naibu Waziri Mkuu alipotembelea banda la Benki ya Azania katika mkutano wa wenyeviti na watendaji wakuu wa Taasisi za Umma (CEO’s & Chairpersons Forum) hii leo jijini Arusha ambapo Benki ya Azania imeshiriki kama mmoja wa wadhamini na mdau mkubwa wa mkutano huo.
“Benki ya Azania tunatambua mchango mkubwa wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika kutoa mazingira  bora na wezeshi kwa Taasisi za fedha,hivyo na sisi Benki ya Azania tunaendelea kushirikiana na Taasisi za Umma katika kuwapa huduma Bora za kifedha ili ziweze kufikia malengo waliyojiwekea”,alisema Bw.Mahimbi.



Prev Post Katibu wa CCM Wilaya ya Mafia, Salehe Kikweo Afariki Dunia
Next Post NAFASI za Kazi Plan International Tanzania
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook