Search
Sign In
2Your Cart
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Simba Yatembelea Na Kuomba Dua Kaburini Kwa Hayati Mwinyi Visiwani Zanzibar

  • 13
Scroll Down To Discover

Simba SC imetembelea kaburi la Hayati Ali Hassan Mwinyi visiwani Zanzibar na kufanya dua maalum ya kumuombea apumzike kwa amani. Pia waliiombea timu hiyo mafanikio, huku ikijiandaa kutafuta ushindi katika mchezo wa marudiano utakaochezwa Zanzibar, baada ya kupoteza mechi ya kwanza kwa mabao 2-0. Mashabiki wamebaki na matumaini ya kushuhudia Simba ikiibuka mabingwa na kuwa timu ya kwanza kutoka Tanzania kutwaa Kombe la Shirikisho Afrika.



Prev Post Waziri Mkuu Kumwakilisha Rais Samia Maonesho ya World Expo 2025 Osaka, Japan
Next Post Je, Una Ujasiri Wa Kuivunja Milango Ya Olympia?
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook