Search
Sign In
2Your Cart
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

MAGAZETI ya Leo Jumatano 14 May 2025

  • 33
Scroll Down To Discover

MAGAZETI ya Leo Jumatano 14 May 2025

MAGAZETI ya Leo Jumatano 14 May 2025

MAGAZETI ya Leo Jumatano 14 May 2025

Serikali imesema kuwa ili kuhakikisha wanafunzi wote wanaomaliza darasa la sita wanakwenda sekondari, na wanafunzi wa mahitaji maalumu wanapata elimu bora ni lazima wanafunzi wote wa kada ya ualimu wawe na ujuzi wa lugha ya alama.

hayo yamesemwa Jumanne Mei 13,2025 na Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda, alipokuwa akiwasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya wizara hiyo kwa mwaka wa fedha 2025/2026

Akizungumzia taarifa hiyo Mkenda amesema, Serikali inatarajia kuongeza miundombinu ya kutosha kwa kushirikiana na Wizara ya Tamisemi lakini pia kuongeza idadi ya walimu ili kuongeza ufanisi katika suala hilo lakini pia kuongeza ushirikiano na sekta binafsi.

“Kwenye sera yetu ya elimu, lugha ya alama itakuwa ni lazima kwa wanafunzi wote wanaosomea ualimu kwa sababu kama unafundisha shuleni lazima uweze kuwasiliana na wanafunzi wa aina wote bila vikwazo,” amesema Profesa Mkenda.



Prev Post STENDI YA AFRICANA MBEZI YAFANYIWA USAFI NA MERIDIANBET…
Next Post Mwili wa Charles Hilary Ulivyowasili Zanzibar Kwa Mazishi
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook