Search
Sign In
2Your Cart
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

MAGAZETI ya Leo Jumapili 11 May 2025

  • 45
Scroll Down To Discover

MAGAZETI ya Leo Jumapili 11 May 2025

Mfanyabiashara Ghalib Said Mohamed (GSM) ambaye pia ni Rais wa Makampuni ya GSM katika mahojiano maalum na Mtangazaji Salama Jabir, amesema moja ya mbinu zake za kufanikiwa ni kutokuogopa kuwekeza sehemu ambazo wengine wameziogopa.

Alipoulizwa kuwa yeye ni Boss wa aina gani, Ghalib ameleza yafuatayo “mimi ni Mtu ambaye na-take risk, ninajaribu biashara ambayo nikiona naweza kufanikiwa naingia tofauti na Watu wengi ambao wanaogopa kuingia kwenye biashara”



Prev Post Msikilize Mrisho Gambo akijibu mashambulizi jukwaani – Video
Next Post Prof. Kabudi: Marekebisho Ya Viwanja Yakamilike Haraka
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook