Search
Sign In
2Your Cart
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Rais Samia Kuongoza Taifa Kuaga Mwili wa Mzee Cleopa Msuya Jumapili – Video

  • 46
Scroll Down To Discover

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan keshokutwa Jumapili anatarajiwa kuwaongoza Watanzania, kuaga kitaifa mwili wa Makamu wa Rais wa Kwanza na Waziri Mkuu Mstaafu, Mzee Cleopa Msuya.

Rais Samia anatarajiwa kuongoza shughuli hiyo ya kuaga kitaifa, ambayo itafanyika katika Viwanja vya Karimjee, Dar es Salaam.

Hayo yameelezwa na Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa leo Ijumaa alipokuwa akiwasilisha taarifa ya kamati ya kitaifa ya mazishi ya viongozi iliyo chini ya Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa.

Aliyekuwa Makamu wa Rais wa Kwanza na Waziri Mkuu Mstaafu, Mzee Cleopa Msuya.



Prev Post Rais Daniel Chapo Awasili Zanzibar Kwa Ziara Ya Kikazi
Next Post Papa Leo XIV Aadhimisha Misa ya Kwanza Sistine Chapel
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook