Search
Sign In
2Your Cart
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Chadema Yaitaka Serikali Ichukue Hatua Shambulio Dhidi ya Padre Kitima

  • 27
Scroll Down To Discover

Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Padre Dkt. Charles Kitima

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimelaani vikali shambulio dhidi ya Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Padre Dkt. Charles Kitima, lililotokea usiku wa Aprili 30, 2025 katika eneo la Kurasini, jijini Dar es Salaam.

Kupitia taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa na Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uenezi wa chama hicho, Bi. Brenda Rupia, CHADEMA limetaja tukio hilo kuwa ni “shambulio la kinyama” linaloashiria mazingira hatarishi kwa viongozi wa dini, wanaharakati na watetezi wa haki za binadamu nchini.

Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uenezi wa chama hicho, Brenda Rupia.



Prev Post Russia Yasisitiza Utayari wa Putin kwa Mazungumzo ya Amani na Ukraine
Next Post Mbunge Shigongo: Baada Ya Miaka 15 Tanzania Itakuwa Nchi Bora Afrika Mashariki
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook