Search
Sign In
2Your Cart
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Mwenyekiti wa UVCCM Taifa: Shigongo Anashirikiana Vyema na Rais Samia Kuleta Maendeleo Buchosa – Video

  • 29
Scroll Down To Discover

Mwenyekiti wa UVCCM Taifa, Mohamed Ally Kawaida

Mwenyekiti wa UVCCM Taifa, Mohamed Ally Kawaida amesema Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo anamsaidia Rais Samia Suluhu Hassan katika kuhakikisha maendeleo yanapatikana kwenye jimbo hilo.

Akiwa kwenye ziara Buchosa, kawaida amesema ushirikiano wa Shigongo na Rais Samia, umewezesha kukamilika kwa miradi mingi kwenye jimbo hilo, na kuongeza kuwa asinukuliwe kama anampigia Shigongo kampeni.

Akihutubia mkutano wa hadhara katika Kata ya Nyehunge, Buchosa wilayani Sengerema alikofanya ziara ya siku moja, Kawaida amewahamasisha vijana kujitokeza kuwania nafasi mbalimbali za uongozi sambamba na kushiriki kwenye uchaguzi kwa kuwachagua viongozi wanaofaa.



Prev Post Mwinyi:Smz Kuviondoa Vikwazo Vinavyokwamisha Uendeshaji Wa Biashara
Next Post Waziri Mkuu Majaliwa Aridhishwa na Maandalizi ya Mei Mosi Kitaifa Singida
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook