Search
Sign In
2Your Cart
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

WCF Yapongezwa Kwa Kujumuisha Wafanyakazi Wenye Mahitaji Maalumu

  • 24
Scroll Down To Discover

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Ridhiwani Kikwete.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Ridhiwani Kikwete, ametembelea banda la Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF) katika Kilele cha Maadhimisho ya Wiki ya Usalama na Afya Mahali pa Kazi 2025 yanayoendelea mkoani Singida ambapo amekutana na kuongea na wafanyakazi wenye mahitaji maalumu ambao ni waajiriwa wa WCF.

Watumishi hao walimueleza Kikwete namna WCF inavyowajumuisha kikamilifu katika kila hatua na matukio yote yanayohusisha wafanyakazi na kuwawezesha kwa kuwapatia vifaa wezeshi vinavyowarahisishia kutekeleza majukumu yao ya kila siku.

 



Prev Post Makalla: Tuwakatae Viongozi Wenye Lengo la Kuvuruga Amani
Next Post Mataifa 9 Yenye Uwezo Mkubwa wa Silaha Hatari za Nyuklia
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook