
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa Majaji wa Mahakama ya Rufani. Aidha, uapisho wa Majaji wateule wa Mahakama ya Rufani utafanyika kwa tarehe itakayopangwa baadaye.

The post Rais Samia Afanya Uteuzi wa Majaji wa Mahakama ya Rufani appeared first on Global Publishers.






Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!