
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Samia Suluhu Hassan, alihudhuria hafla maalum iliyofanyika katika Chuo cha Taaluma ya Urekebishaji Tanzania (TCT) kilichopo Ukonga, Jijini Dar es Salaam, tarehe 09 Mei 2026.
Katika hafla hiyo, Rais Samia alihitimisha rasmi Mafunzo ya Uongozi Ngazi ya Juu Kozi Namba 28 pamoja na Uongozi Daraja la Pili Kozi Namba 48 kwa mwaka wa mafunzo 2025/2026. Tukio hilo lilihusisha gwaride la heshima lililoonesha nidhamu, ukakamavu na maandalizi ya viongozi wanaoandaliwa kulitumikia taifa katika nyadhifa mbalimbali.





The post Rais Samia Ahitimisha Mafunzo ya Uongozi TCT Ukonga (Picha +Video) appeared first on Global Publishers.






Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!