Search
Sign In
2 Register
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Kenya na Ghana kuchunguza Mrusi kuhusu za siri za wanawake. Katika Dira ya Dunia TV

  • 27
Scroll Down To Discover

Serikali ya Kenya imesema inachunguza matukio yanayomhusu mwanaume mmoja raia wa Urusi anayeshutumiwa kwa kurekodi matukio yake ya kimapenzi na wanawake kadhaa, na kisha kuweka video hizo mtandaoni bila wao kuridhia. Waziri wa jinsia Hanna Cheptumo ametaja tukio hilo kama la kufedhesha na ukiukwaji mkubwa wa usiri na haki ambazo zimelindwa kisheria. #Kenya #bbcswahili #bbcswahilileo #Urusi #Videozasiri Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw



Prev Post Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba Akagua Mradi wa Maji – Korogwe, Tanga
Next Post Mwanasheria Mkuu wa Serikali Aongoza Zoezi la Kutoa Huduma za Kisheria Kwa Wananchi
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook