Search
Sign In
2Your Cart
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

MAGAZETI ya Leo Jumamosi 26 April 2025

  • 24
Scroll Down To Discover

MAGAZETI ya Leo Jumamosi 26 April 2025

Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini imetinga fainali Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kuiondosha Al Ahly ya Misri kwa sare ya bao 1-1 ugenini.

Mamelodi imejikatia tiketi kwa kwa faida ya bao la ugenini kwani mechi ya kwanza Afrika Kusini ilimalizika kwa suluhu.

Mamelodi Sasa itakutana na Pyramid ya Misri katika mchezo wa Fainali ya CAF Champions League 2024/2025.



Prev Post Watanzania na Wanajumuiya ya Afrika Mashariki Wahimizwa Kudumisha Amani
Next Post KUHUSU HATMA YA CHAMA MSIMU UJAO….YANGA WAMTUPIA ‘ZIGO LA MIDA’ KOCHA….
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook