Search
Sign In
2 Register
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Wabunge Wapya Waapishwa Bungeni Dodoma Leo (Picha +Video)

  • 3
Scroll Down To Discover

Spika Mstaafu wa Bunge la 12 na Mbunge wa Jimbo la Uyole, Dkt. Tulia Ackson akiapa Bungeni leo Novemba 11, 2025.

Wabunge wameapishwa leo Novemba 11, 2025, katika Kikao cha Kwanza cha Mkutano wa Kwanza wa Bunge la Kumi na Tatu, kilichofanyika Jijini Dodoma.
Hafla hiyo ya kiapo imefanyika baada ya kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025, ambapo wabunge walioteuliwa na kuchaguliwa wameapishwa rasmi kabla ya kuanza shughuli za Bunge jipya.

Baada ya uapisho huo, shughuli zilizofuata ni uchaguzi wa Spika na Naibu Spika, ambapo wabunge wote wapya walishiriki kwa mujibu wa Katiba na Kanuni za Bunge.

Mbunge wa Jimbo la Bukombe, Mhe. Dkt. Doto Biteko akiapa Bungeni leo Novemba 11, 2025.

Waheshimiwa Wabunge wakiapa wakati wa Kikao cha Kwanza cha Mkutano wa Kwanza wa Bunge la Kumi na Tatu uliofanyika leo Novemba 11, 2025 Jijini Dodoma.



Prev Post PLAN ZA AZAM KIMATAIFA HIZI HAPA…..SAFARI HII WAMEPANIA KWELI AISEEE….
Next Post Kibatala Afunguka Mazito kesi ya Niffer leo Mahakamani
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook