Search
Sign In
2Your Cart
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Rais Samia Ampongeza Simbu kwa Kung’ara Boston Marathon

  • 7
Scroll Down To Discover

Rais Samia Suluhu Hassan amempongeza mwanariadha Alphonce Simbu kwa kushika nafasi ya pili katika mashindano ya kimataifa ya Mbio za Boston.
Kupitia akaunti yake ya Instagram, Rais Samia ameandika:
“Pongezi za dhati kwa Alphonce Simbu kwa kushika nafasi ya pili katika Mashindano ya Kimataifa ya Mbio ya Boston (Boston Marathon). Umefanya kazi nzuri.
“Ushindi wako ni matokeo ya kujituma kwa bidii, maandalizi mazuri, nidhamu yako kuanzia jeshini, kwenye mazoezi hadi kwenye mashindano, ukilibeba kwa heshima ya hali ya juu jina la nchi yetu.
“Endelea kuipeperusha vyema bendera ya Taifa letu.”



Prev Post Makamu Mwenyekiti wa Chadema, John Heche, Akamatwa na Polisi Kariakoo
Next Post Serikali ya Burkina Faso Yazima Njama ya Mapinduzi Dhidi ya Kapteni Traoré
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook