Search
Sign In
2 Register
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Ng’wasi Damasi Kamani Atoa Wito kwa Vijana wa Tanzania

  • 9
Scroll Down To Discover

Akizungumza kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni za CCM  Oktoba 8, 2025 jijini Mwanza, Mgombea Ubunge wa Viti Maalum (Kundi la Vijana) Ng’wasi Damasi Kamani ametoa wito mzito kwa vijana kulinda amani ya nchi yetu.

Amesema, “Sisi tumezaliwa hapa, vitovu vyetu vimezikwa hapa, na hata tukifa tutazikwa hapa, hatuna nchi nyingine zaidi ya Tanzania.”

Amewataka vijana kutokubali kudanganywa wala kushawishiwa kufanya vitendo vinavyoweza kuhatarisha amani, akisisitiza kuwa vita ya kizazi hiki ni vita ya uzuri dhidi ya ubaya, ya kulinda amani na mustakabali wa taifa letu.

Ifikapo tarehe 29 Oktoba 2025, vijana wa Tanzania wanatakiwa kusimama mstari wa mbele kama mabalozi wa amani, wakimpa kura ya ndiyo Dkt. Samia Suluhu Hassan: Mlinzi wa amani, mshindi wa maendeleo.



Prev Post EBWANA EEEH…KUMBE UMENEJA WA PANTEV NI ZAIDI YA UKOCHA MKUU PALE SIMBA…IKO HIVI…
Next Post Mshtuko! Mwanaume Adaiwa Kumuua Mama Yake wa Kambo
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook