
Msanii wa Bongofleva, Dogo Janja, aibuka kidedea kwenye kura za maoni CCM Kata ya Ngarenaro, akimshinda aliyekuwa diwani Isaya Doita kwa tofauti ya kura 16.
Wapiga kura walioshiriki: 139
Kura halali: 138
Kura isiyoonekana: 1
Matokeo:
Dogo Janja – 76
Isaya Doita – 60
Benjamin Mboyo – 2
Msimamizi: Sophia Islam
Mwandishi: Janeth Mushi
Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!