Search
Sign In
2 Register
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

DIB YAENDELEA KUTOA ELIMU KUHUSU BIMA YA AMANA KWA WANANCHI NANENANE DODOMA

  • 55
Scroll Down To Discover

Banda la Bodi ya Bima ya Amana katika Maonesho ya Kilimo, MIfugo na Uvuvi (Nanenane) yanayofanyika kitaifa katika viwanja vya Nzuguni, jijini Dodoma limeendelea kutembelewa na wananchi mbalimbali wanaofika katika maonyesho hayo ili kupata uelewa namna Bodi hiyo inayoendesha shughuli zake katika kukinga amana za wateja katika benki na taasisi za fedha. 

Meneja Uendeshaji wa DIB, Bw. Nkanwa Magina pamoja na maofisa mbalimbali wa taasisi hiyo wanaendelea na utoaji elimu kwa wananchi ili kuhakikisha DIB inafahamika zaidi kwa wananchi na majukumu yake katika kuhakikisha elimu hiyo itawafika watanzania wengi nchini.



Prev Post Mkulima kutoka Manyara Azindua Mifumo ya Kisasa ya Kilimo Dodoma
Next Post PITIA VICHWA VYA HABARI KATIKA MAGAZETI YA LEO AGOSTI 04, 2025
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook