Search
Sign In
2Your Cart
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango Afungua Mkutano wa Mwaka wa Waganga Wakuu Dodoma

  • 37
Scroll Down To Discover

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango leo Julai 12, 2025  amefungua Mkutano wa Mwaka wa Waganga Wakuu wa Mikoa na Halmashauri, katika Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma.

Mkutano huu unalenga kujadili utekelezaji wa majukumu ya sekta ya afya katika ngazi ya mikoa na halmashauri pamoja na kuweka mikakati ya kuboresha utoaji wa huduma kwa wananchi kote nchini.

 



Prev Post Raila Odinga Amkosoa Rais Ruto Agizo la Kuwapiga Risasi Waandamanaji
Next Post Kuwa sehemu ya bilioni 1.5 kutoka LOOT Legends, Ni Meridianbet Pekee
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook