Search
Sign In
2Your Cart
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Eric Shigongo Achukua Fomu Kuwania Ubunge Buchosa Kwa Muhula Wa Pili – Video

  • 33
Scroll Down To Discover

Mbunge wa Buchosa anayemaliza muhula wake wa kwanza, Eric Shigongo amechukua fomu ya kuwania ubunge wa jimbo hilo kwa muhula wa pili, zoezi lililofanyika katika Ofisi za CCM Sengerema.

Shigongo amekabidhiwa fomu hiyo na Katibu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Sengerema, Rashid Semindu.

Wananchi wa Buchosa wana shauku kubwa ya kumuona Shigongo anaendelea kuwa mbunge wao kutokana na mambo makubwa aliyoyafanya ndani ya kipindi cha miaka mitano ya awali ili azidi kuipaisha Buchosa zaidi ya ilipofikia sasa kimaendeleo.

 

View this post on Instagram

 

A post shared by globalpublishers (@globaltvonline)



Prev Post Oryx Gas na REA Wazindua Mradi wa Magerezani Kutumia Nishati Safi ya Gesi
Next Post Liberia Kumzika Upya Rais wa Zamani William Tolbert Miaka 45 Baada ya Kuuawa
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook