
MAGAZETI ya Leo Jumatatu 02 June 2025
MAGAZETI ya Leo Jumatatu 02 June 2025
Klabu ya Pyramids FC imeandika historia baada ya kutwaa taji la Klabu Bingwa Afrika (CAFCL), msimu wa 2024/25 kwa kuifunga Mamelodi Sundowns mabao 2-1 yakifanya jumla ya magoli 3-2.
Katika mchezo huo uliochezwa kwenye dimba la June 30 nchini Misri imeshuhudiwa Pyramids ikitwaa taji lake la kwanza la CAF tangu kuanzishwa kwake mwaka 2008.
Mshambuliaji wa Kimataifa wa DR Congo, Fiston Mayele ameibuka mfungaji bora wa mashindano hayo kwa kufunga jumla ya mabao sita (6) akimpita wa Al Ahly, Emmam Ashour (5).
Kwa kutwaa taji hilo, Pryramids imeingia rasmi kwenye kundi la vigogo wa Afrika na itashiriki kwenye kombe la Dunia la Vilabu.
Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!