Search
Sign In
2 Register
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Balozi Nchimbi: Meatu itaendelea kushuhudia maendeleo chini ya Dkt. Samia

  • 12
Scroll Down To Discover

Mgombea Mwenza wa CCM, Balozi Emmanuel Nchimbi, amehutubia kwa moyo mkunjufu wananchi wa Meatu, akisisitiza dhamira halisi ya Mgombea Urais wa CCM, Dkt. Samia Suluhu Hassan, katika kuwaletea maendeleo ya kweli.

Ameeleza mafanikio yaliyoshuhudiwa tayari Meatu na miradi mikubwa iliyotekelezwa katika sekta mbalimbali, huku akiahidi kwa niaba ya Dkt. Samia kuwa safari ya maendeleo itakazidi kuimarika kupitia ahadi zilizomo kwenye Ilani ya CCM 2025–2030. Ahadi hizi, amesema, zitalenga moja kwa moja kuboresha maisha ya wananchi wa Meatu.



Prev Post PITIA VICHWA VYA HABARI KATIKA MAGAZETI YA LEO SEPTEMBA 03, 2025
Next Post Dkt. Samia Kuendelea na Kampeni za CCM Leo Mkoani Songwe
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook