Search
Sign In
2 Register
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Kulitambua taifa la Palestina ni 'wazimu mtupu' asema Netanyahu, katika Dira ya Dunia TV

  • 4
Scroll Down To Discover

Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu amezungumzia uamuzi wa nchi zikiwemo Ufaransa na Uingereza kutambua taifa la Palestina, na kuuita "kujiua kitaifa". Ni "wazimu mtupu, ni wazimu na hatutafanya hivyo," Waziri Mkuu wa Israel anasema. Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw



Prev Post Wasira Aungana na Dkt. Nchimbi Katika Mazishi ya Abbas Mwinyi
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook