Search
Sign In
2Your Cart
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Mvumbuzi wa Alama za Watu Wenye Ulemavu Aomba Serikali Imsaidie – Video

  • 55
Scroll Down To Discover

Mzee Jutoram Kabatele

Mzee Jutoram Kabatele ni Mtanzania aliyebuni alama za barabarani za kuwalinda watu wenye ulemavu.

Global TV imefika nyumbani kwake na kuzungumza naye ambapo ameeleza jinsi alivyobuni alama hizo na hatimaye serikali ikaanza kuzitumia rasmi.

Licha ya kazi kubwa na ya muhimu aliyoifanya, maisha anayoishi ni duni huku akiwa na maradhi. Anaeleza kuwa, hajawahi kulipwa chochote kutokana na ubunifu huo na anaomba serikali imsaidie.



Prev Post Papa Leo XIV Aadhimisha Misa ya Kwanza Sistine Chapel
Next Post Mama wa Miaka 61 Anusurika Shambulio la Ubakaji na Kujeruhiwa Vibaya, Babati – Video
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook