Search
Sign In
2Your Cart
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Mama wa Miaka 61 Anusurika Shambulio la Ubakaji na Kujeruhiwa Vibaya, Babati – Video

  • 52
Scroll Down To Discover

Mama mmoja mwenye umri wa miaka 61, mkazi wa Kijiji cha Gedamara, wilayani Babati, mkoani Manyara

Mama mmoja mwenye umri wa miaka 61, mkazi wa Kijiji cha Gedamara, wilayani Babati, mkoani Manyara, amedai kuvamiwa na kujeruhiwa vibaya katika maeneo mbalimbali ya mwili wake na kijana anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 30, katika tukio lililotokea Januari 26 mwaka huu, nyumbani kwake Gedamara.

Kwa mujibu wa maelezo ya mama huyo, kijana huyo anayefahamika kwa jina la Luka alifika nyumbani kwake akiomba chakula, na baada ya muda alianza kufanya jaribio la kumbaka, jambo lililomlazimu mama huyo kujaribu kujihami. Katika harakati hizo, kijana huyo alidaiwa kumshambulia kwa kutumia mpini wa jembe, na kumpiga kichwani pamoja na kumvunja mguu mmoja.

Huyu ni mwanaye ambaye anasimulia tukio zima.

Ripota wa Global TV, @hoseaelnino, ametuletea simulizi kamili kutoka Gedamara.



Prev Post Mvumbuzi wa Alama za Watu Wenye Ulemavu Aomba Serikali Imsaidie – Video
Next Post Uganda Yazindua Ujenzi Wa Ofisi Ya Ubalozi Jijini Dodoma
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook