Search
Sign In
2 Register
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Mahakama Kuu Yaikataa Mapingamizi ya Lissu Katika Kesi ya Uhaini

  • 4
Scroll Down To Discover

Mahakama Kuu ya Masijala, Dar es Salaam, imekataa mapingamizi yaliyowekwa na Mwenyekiti wa Chadema, Mheshimiwa Tundu Lissu, katika kesi ya Uhaini inayomkabili.

Lissu alikata rufaa akipinga jinsi kesi ya Ukabidhi (Committal) ilivyofanyiwa kwenye Mahakama ya Kisutu. Mapingamizi yaliyotolewa na Lissu ni pamoja na:

Uhalali wa Mahakama ya Kisutu kuendesha Committal wakati mtuhumiwa alikamatwa Mbinga, Ruvuma.

Uahirishwaji usio wa lazima wa kesi.

Uchakachuaji wa nyaraka wakati wa usikilizwaji wa Committal.

Mahakama Kuu imesema mapingamizi haya hayana msingi na kuendelea na kesi hiyo kama ilivyopangwa.



Prev Post Jeshi la Polisi Lamuita Polepole Kutoa Ushahidi wa Tuhuma
Next Post Wafanyabiashara 186 Wahitimu Mpango wa Maendeleo ya Usambazaji Bidhaa
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook