Search
Sign In
2Your Cart
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

MAGAZETI ya Leo Jumapili tarehe 18 May 2025

  • 36
Scroll Down To Discover

MAGAZETI ya Leo Jumapili tarehe 18 May 2025

MAGAZETI ya Leo Jumapili tarehe 18 May 2025

MAGAZETI ya Leo Jumapili tarehe 18 May 2025

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema mwaka huu atapiga kura Chamwino mkoani Dodoma, badala ya Zanzibar kama ilivyokuwa miaka ya nyuma.

Akizungumza baada ya kuboresha taarifa zake za mpiga kura katika daftari la kudumu la wapiga kura leo Jumamosi, Mei 17, 2025, Chamwino, Rais Samia amesema: “Ndugu zangu, nami nimeona nijiunge nanyi hapa kituoni kwetu… Huko nyuma nilikuwa napiga kura Zanzibar kwa sababu nilikuwa Makamu wa Rais… lakini mwaka huu inabidi nipige kura hapa Makao Makuu ya nchi, ambako ndiko yalipo makao ya Serikali.”

Amesema licha ya kuwa mkazi wa Chamwino kwa muda mrefu na kupiga kura huko mara nyingi, alilazimika kupiga kura Zanzibar alipokuwa Makamu wa Rais. Hata hivyo, kwa sasa, akiwa Rais, ameamua kurekebisha taarifa zake ili kupiga kura Chamwino.



Prev Post Trump Azitaka Kampuni za US Zitengeneze Droni Kama za Iran
Next Post Dk.Mwinyi: CCM Itashinda Uchaguzi Kwa Kutekeleza Vema Ilani
Related Posts
© Image Copyrights Title

MAGAZETI ya Leo Jumamosi 17 May 2025

Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook