Search
Sign In
2Your Cart
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Uchaguzi wa Papa wa 267: Moshi Mweusi Waendelea Kutanda Sistine Chapel

  • 6
Scroll Down To Discover

Leo Mei 8, 2025 moshi mweusi umetoka kwenye bomba la paa la Sistine Chapel ishara wazi kwamba Makardinali 133 bado hawajafikia muafaka juu ya nani atakayekuwa Papa wa 267 wa Kanisa Katoliki.

Hii ni sehemu ya mchakato wa Conclave unaofanyika kwa siri kubwa, ambapo kura hupigwa mara mbili kila siku hadi mmoja wa makardinali apate theluthi mbili ya kura zote.

Moshi mweusi unasemwa kuwa ujumbe wa kusubiri zaidi lakini pia wa matumaini kwamba kwa uvumilivu, mwangaza wa moshi mweupe utawasili hatimaye.



Prev Post Majaliwa Ahani Msiba Wa Cleopa David Msuya
Next Post Rais Samia Afanya mazungumzo na Rais wa Msumbiji Daniel Francisco Chapo, Ikulu Dar
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook