

Rais Samia Suluhu Hassan amelitangazia taifa kifo cha Mzee Cleopa David Msuya, aliyewahi kuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Tanzania na Waziri Mkuu, kilichotokea leo Mei 7, 2025 majira ya saa tatu asubuhi katika Hospitali ya Mzena, jijini Dar es Salaam.
Rais Samia ametangaza siku saba za maombolezo.
Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!