Search
Sign In
2Your Cart
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Breaking: Rais Samia Atanga kifo cha Mzee Cleopa David Msuya – Video

  • 43
Scroll Down To Discover

Mzee Cleopa David Msuya, aliyewahi kuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Tanzania na Waziri Mkuu enzi za uhai wake.

Rais Samia Suluhu Hassan amelitangazia taifa kifo cha Mzee Cleopa David Msuya, aliyewahi kuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Tanzania na Waziri Mkuu, kilichotokea leo Mei 7, 2025 majira ya saa tatu asubuhi katika Hospitali ya Mzena, jijini Dar es Salaam.

Rais Samia ametangaza siku saba za maombolezo.



Prev Post Meridianbet Yazindua “Gates of Olympia”, Sloti ya Kipekee ya Kifalme yenye Ushindi Mkubwa!
Next Post Benki ya CRDB Yawahakikishia Wawekezaji Ukuaji Endelevu wa Uwekezaji wao
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook